Thursday 25 June 2015
NEW MUSIC:FunCulture Ft Lecture-Nogesha.
FunCulture:Naamini Ujio Wangu Wa Sasa Ni Wa Kishindo.
Msanii Chipukizi kutoka Mkoa wa Geita FunCulture amesema.."kwa sasa anaamini ujio wake utakuwa wa tishio na wa kipekee katika muziki..ngoma ipo tayari na leo hii hii itakuwa released''....Alisema hayo baada ya kukamilisha track yake mpya inayokwenda kwa jina la Nogesha akiwa kamshirikisha Lecture chini ya Producer G-Touchez katika studio ya Kamosage Records iliyopo mkoani Geita.
FAHAMU KUHUSU MWANAMUZIKI BRUNO MARS:
Bruno Mars |
Peter Gene Hernandez (amezaliwa 8 Oktoba 1985), kitaaluma anajulikana kwa jina lake la kisanii Bruno Mars, ni mwimbaji, mtunzi, mtayarishaji wa rekodi, mwigizaji sauti, na choreographer. Alizaliwa na kukulia katika Honolulu, Hawaii na familia ya wanamuziki, Mars alianza kufanya muziki katika umri mdogo na kutumbuiza katika kumbi mbalimbali vya muziki katika mji wake katika utoto wake. Alipomaliza shule ya sekondari na kuhamia Los Angeles kufanya mambo yake ya muziki.
Alishawahi kufanya kazi na Motown Records,baada ya hapo alisaini na Atlantic mwaka 2009. Alijulikana kama mwanamuziki wa kujitegemea baada ya kuto wimbo wake wa "Nothin On You" akiwa na Bob, na "Billionaire"akiwa na Travie McCoy, ambayo ilikuwa na Mafanikio duniani kote. Studio yake albamu, Doo-Wops & Wahuni (2010), ilimtambulisha Marekani Billboard Hot 100 chati-topping single "The Way You Are" na "Grenade", na n "Lazy Song ". Albamu yake ya pili, unorthodox Jukebox, ilitolewa mwaka 2012, ilipata kushika nafasi namba moja nchini Marekani,zikiwemo nyimbo "Locked Out Of Heaven", "When I Was Your Man" na "Tressure".
s |
s |
s |
Wednesday 24 June 2015
WAFAHAMU MASTAA WATATU WALIOZALIWA SIKU YA LEO
Solange Knowles |
Ni muimbaji,model pia ni mdogo wa Beyonce Knowles.Alitoa album yake ya kwanza iliyoitwa Sol-Angle and hardley St Dreams ambayo ilishika nafasi ya 9 katika chati za Bilboard 200.
Alianza kufanya baby jams na hip hop toys kabla hata hajaanza kusoma.Aliolewa na Daniel Smith mwaka 2004 na kupata mtoto mmoja waka huohuo aliyeitwa Daniel Jr,mwaka 2007 walitengana na mumewe huyo na kuolewa tena mwaka 2014 nam Alan Ferguson.Solange ni Mtoto wa Matthew na Tina Knowles.Alizaliwa June 24 mwaka 1986 huko Texaz,ana miaka 29.
Lionel Messi |
Mindy Kaling |
MTUNZI WA WIMBO "MY HEART WILL GO ON" AFARIKI DUNIA.
Mtunzi wa nyimbo wa Hollywood,James Horner.aliyeandika wimbo wa My Heart Will Go On uliotumika katika filamu ya Titanic,amefariki kwenye ajali ya ndege yake binafsi.
Ndege yake ilianguka katika msitu wa mbuga ya Los Padres National Forest,kaskazini mwa Los Angeles.Horner alikuwa mwenyewe kwenye ndege hiyo.
Celine Dion,aliyeimba wimbi huo uliompa Horner tuzo za Oscar alituma salamu za rambi rambi kwenye Twitter:Shaken by tragic death of James Horner.We send our prayers and deepest condolences to his family and friends."Alitweet.James Horner Amefariki akiwa na umri wa miaka 61.
Tuesday 23 June 2015
Albino Killings(KiverT)
Rapper KiverT ambaye pia ni mwanaharakati katika swala zima la haki za binadamu na kuzuia ubaguzi ameonyesha kupinga vikali suala la mauaji ya Watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino)kupitia wimbo wake Mpya unaokwenda kwa jina la Inatosha katika wimbo huo KiverT amewahamisishi watu wa jamii zote kupinga mauaji hayo ya kikatili..."Muziki unaplay part kubwa katika maisha ya binadamu na ndio maana nikaamua kuandika wimbo huu ili kuwakumbusha binadamu wote kuwa sisi wote ni sawa na haipendezi kuamini kuwa kumuua mtu mwenye ulemavu wa ngozi itakupa faida yoyote...hivyo basi tuzuie mauaji ya Albino na tuishi kwa usawa"Alisema Kiver,ngoma ya Inatosha tayari ipo katika mitandao mbali mbali akiwa amemshirikisha Lecture Producer akiwa ni G-Touchez!!
KiverT Tz |
Subscribe to:
Posts (Atom)