Rapper Stannah ni rapper anayekuja vizuri sana kwenye game ya muziki wa hiphop..Stannah ameshaachia track kadhaa lakini pia ni msanii ambaye ana matazamio makubwa baadae kupitia muziki wake...kati ya track ambazo zinafanya vizuri zaidi ni New Era na Rap ambayo amemshirikisha Raymond chini ya producer Qb Touch
|
Stannah WashaWasha |
No comments:
Post a Comment