|
Solange Knowles |
WAFAHAMU MASTAA WATATU WALIOZALIWA SIKU YA LEO
Ni muimbaji,model pia ni mdogo wa Beyonce Knowles.Alitoa album yake ya kwanza iliyoitwa Sol-Angle and hardley St Dreams ambayo ilishika nafasi ya 9 katika chati za Bilboard 200.
Alianza kufanya baby jams na hip hop toys kabla hata hajaanza kusoma.Aliolewa na Daniel Smith mwaka 2004 na kupata mtoto mmoja waka huohuo aliyeitwa Daniel Jr,mwaka 2007 walitengana na mumewe huyo na kuolewa tena mwaka 2014 nam Alan Ferguson.Solange ni Mtoto wa Matthew na Tina Knowles.Alizaliwa June 24 mwaka 1986 huko Texaz,ana miaka 29.
|
Lionel Messi |
Nyota mshambuliaji wa mpira Lionel Messi anayechezea FC Barcelona Pia ni Captain wa Timu ya Taifa ya Argentina.Alizaliwa June 24 mwaka 1987 huko Argentina,ana miaka 28.
|
Mindy Kaling |
Ni muigizaji nyota aliyecheza filamu ya No String Attached mwaka 2011,alizaliwa June 24 1979 Massachusetts,Ana miaka 36.
No comments:
Post a Comment