Wednesday 15 July 2015

STANNAH COMING

Rapper Stannah ni rapper anayekuja vizuri sana kwenye game ya muziki wa hiphop..Stannah ameshaachia track kadhaa lakini pia ni msanii ambaye ana matazamio makubwa baadae kupitia muziki wake...kati ya track ambazo zinafanya vizuri zaidi ni New Era na Rap ambayo amemshirikisha Raymond chini ya producer Qb Touch
Stannah WashaWasha

Tuesday 14 July 2015

Wednesday 1 July 2015

WEUSI NDANI YA GEITA USIKU WA EID MOSI

Ni show ya kukata na shoka kundi zima la Weusi litakuwa ndani ya Geita kwa show kali pale Desire Park likitikisha kibabe jukwaa kuufurahia usiku wa Eid Mosi na wewe,Hapa Joh Makini,pale Nikki Wa Pili na huku G-Nako Warawara...eeeh bhana ......USICHEZE MBALI kwa kiingilio chako cha tsh 10000 tu
Weusi

NEW MOVIE COMING SOON!!!

Mtoto Wa Msukule
COMING SOON!!....

MOVIE:MTOTO WA MSUKULE

Kamosage Films Production inakuletea filamu mpya inayoitwa MTOTO WA MSUKULE wakimshirikisha staa mkubwa wa movie Tanzania Peter Phineas.Kaa tayari filamu hii inatoka hivi karibuni....

Mtoto Wa Msukule

Monday 29 June 2015