Wednesday 1 July 2015

WEUSI NDANI YA GEITA USIKU WA EID MOSI

Ni show ya kukata na shoka kundi zima la Weusi litakuwa ndani ya Geita kwa show kali pale Desire Park likitikisha kibabe jukwaa kuufurahia usiku wa Eid Mosi na wewe,Hapa Joh Makini,pale Nikki Wa Pili na huku G-Nako Warawara...eeeh bhana ......USICHEZE MBALI kwa kiingilio chako cha tsh 10000 tu
Weusi

No comments:

Post a Comment