HABARI ZA WASANII

FunCulture:Naamini Ujio Wangu Wa Sasa Ni Wa Kishindo.
FunCulture

Msanii Chipukizi kutoka Mkoa wa Geita FunCulture amesema.."kwa sasa anaamini ujio wake utakuwa wa tishio na wa kipekee katika muziki..ngoma ipo tayari na leo hii hii itakuwa released''....Alisema hayo baada ya kukamilisha track yake mpya inayokwenda kwa jina la Nogesha akiwa kamshirikisha Lecture chini ya Producer G-Touchez katika studio ya Kamosage Records iliyopo mkoani Geita.

No comments:

Post a Comment